Mahaba Song Lyrics

Admin
0

  Mahaba Song - Alikiba



  -Mahaba-

Siku hizi hakuna mahaba
Yeah mahaba
Mapenzi ya mkataba
Mpaka kufa, kwisha

Ni neema ukiwa unahema
Mapenzi yanachosha, yanavuja raha
Nafsi yangu inasema
Bora nimpende tu alionizaa

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinitosha, no

Uchungu wa kulia daily
Mapenzi yalinifanya nisile
Sina kumbukumbu ile
Kwamba ulinitosha, no

Mwenzako mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

Skiza kwanza we dada, we dada
Mi sio mgeni alishanikaba
Mapenzi yalinikausha
Natamani kuwa single
Ila na- unakaba koo
Mabinti wenye vifundo
Hao ndio mi wananitoa roho

Na siri juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Na siri yake juu ya jambo lile
Ni kama chakula lazima nile
Mi mbovu sana wa jambo lile
Na ufundi wa kutosha ooh

Mwenzako mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, yalinitupa, nimefufuka yeah
Mi nilikufa, nikaziwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, nimefufuka yeah

-------------------------------------------------------------

WATCH ON YOUTUBE





Tags

Post a Comment

0Comments
Post a Comment (0)